Wednesday 22 October 2014

Biblia inasema: KILA MTU AUWAWE KWA DHAMBI ZAKE MWENYEWE

MSIKILIZENI MUNGU.
Katika kumbukumbu la taurati 24:16, anasema nini:

"mababa wasiuwawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya dhambi za baba zao. KILA MTU AUWAWE KWA DHAMBI ZAKE MWENYEWE.

Lakini Paulo anawadanganya eti Yesu kauliwa kwa ajili ya Madhambi yenu.

Sunday 14 September 2014

Yesu hakusulubiwa, Mwenyezi Mungu alimwokoa.


Biblia inasema hivi,

"Yesu alipokuwa akiishi duniani, alitoa dua na maombi kwa kilio kikuu na machozi kwa Mungu ambaye angeweza kumwokoa na kumtoa katika kifo, naye Mungu alimsikia kwa sababu alikuwa mnyenyekevu na mtiifu" (Waebrania 5:7)

Bible inatuambia kila aliyetundikwa msalabani amelaaniwa na mungu.
Katika kumbukumbu la Torati 21:23, Mungu anamwambia Musa kwamba mtu " aliyetundikwa katika mti amelaaniwa na Mungu".

MSIKILIZENI MUNGU.
Katika kumbukumbu la taurati 24:16, anasema nini:
"mababa wasiuwawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya dhambi za baba zao.KILA MTU AUWAWE KWA DHAMBI ZAKE MWENYEWE"

Biblia pia inasema:

Numbers 23:19
"God is not a man, so He does not lie. He is not human, so He does not change His mind. Has He ever spoken and failed to act? Has He ever promised and not carried it through?"

Quran tukufu inasema hivi,
"Na kwa kauli yao kuwa: ‘Tumemuua Yesu mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu’. Hakika ni kuwa hawakumuua wala hawakumsulubu, lakini walishabihishiwa kwao. Wale wanaotofautiana katika hilo wako katika shaka wala hawana ilimu ya uhakika kuhusu hilo, wanafuata tu dhana. Hakika ni kuwa hawakumuua".
"Bali Mwenyezi Mungu Alimnyanyua Kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima". [An-Nisaa: 157-158]

Today's Christianity holds that Jesus was crucified to ransom people and save them from their sins, whether original or acquired. Christians believe that the crucifixion of Jesus is the guarantee of their salvation. To disprove this belief, here are some evidences:

1. There is no logical relationship whatsoever between crucifixion and salvation. How can the crucifixion of X erase the sins of Y?!

2. Crucifixion for salvation contradicts God's justice. Why should one be crucified in order to redeem another one?!

3. What saves you is your deeds, not the crucifixion or hanging of another one whoever he might be.

4. In the previous Groups, we presented many evidences against original sin. Since the original-sin theory is not true, as proved before, salvation by crucifixion is also not true. Disproving original sin implies disproving salvation by crucifixion, because the latter is based on the former. Christianity assumes that Jesus' crucifixion occurred to save man from his original sin. With the collapse of the original-sin theory, salvation by crucifixion collapses as well.

5. Jesus asserted the everlasting Fire (Matt. 25:41). This Fire contradicts salvation by crucifixion. If Jesus ransomed man and redeemed him of his sins, why the Fire then?! If some people will go to the Fire, where is salvation by crucifixion?! If you say that sinners should go to the Fire, then what was redemption from if not from sins?!

6. Jesus said, ' Not everyone that says unto me, Lord, Lord, shall enter into the kingdom of heaven, but he that DOES the will of my Father." (Matt. 27 :21). Here Jesus stipulates obedience to God as a condition to entering Paradise. In other words, you enter Paradise by your good deeds, not by Jesus' crucifixion. Jesus has made it as clear as it may be: salvation is by obedience to God. He did not mention any crucifixion as a means to salvation.

7. Jesus said, "Whosoever speaks against the Holy Ghost, it shall not be forgiven him, neither in this world, neither in the world to come." (Matt. 12:32). Jesus says that liars against Gabriel will not be forgiven on the Day of Resurrection. So there will be sinners awaiting punishment on that day. Where is that so-called universal salvation then?! They say that Jesus, by offering himself on the cross, saved man. But we are told here by Jesus himself that there will be people who are not saved!!

8. Jesus said, "God shall reward every man according to his works." (Matt. 16:27). This statement
negates both the original-sin theory and the salvation 朾y -crucifixion theory. What saves you is your works, nothing else

9. Jesus said, "Thy Father which sees in secret himself shall reward you openly." (Matt. 6:4). Jesus here asserts the reward-punishment principle, which contradicts salvation by crucifixion. Some people are
rewarded and some are punished according to their deeds. Where is the so-called salvation by crucifixion
than?! If people are held responsible by God for their deeds, there is no place for salvation except through deeds.

10. Jesus said, "Woe unto that man by whom the son of man is betrayed!" (Matt. 26:24). Jesus said this as a
warning to one of his disciples who would lead soldiers to seize him. If crucifixion is for salvation and if
crucifixion happened with the willingness or Jesus as they claim, why then is there woe for the betrayer?! That betrayer should have been thanked because he facilitated Jesus' fulfillment of his mission, i.e.,
crucifixion for salvation. Jesus' warning, in fact, proves that the would-be crucifixion was a conspiracy against Jesus and not one of his planned objectives. Jesus never wanted to be crucified neither for salvation nor for any other purpose or reason. As for the road to salvation, Jesus told his people that they would be saved through obedience to God and there was NO other alternative. This is what all prophets conveyed to man: salvation through piety.

11. In that night of arrest, Jesus was very sorrowful (Matt. 26:38) and prayed asking God to save him from his enemies, "0 my Father, if it be possible, let this cup pass from me." (Matt. 26:39). Had crucifixion been Jesus' goal, he would not have asked God to save him from his enemies. Jesus himself asked God to save him. And God in fact accepted Jesus' request and saved him from his enemies. Salvation by crucifixion did not happen, simply because crucifixion itself did not happen and because salvation can never be attained by crucifixion to begin with.

12. The theory of salvation by crucifixion holds that Jesus offered himself willingly to be crucified to save and ransom humanity. If so, why did he say on the cross, "My God, my God, why hast thou forsaken me?" (Matt. 27:46)?! This shout of Jesus proves that he did not want to be crucified, not for any reason, not for the salvation of anyone.

13. The salvation-by-crucifixion theory encourages sinning because the theory claims that Jesus' crucifixion has saved sinners and paved their way to Paradise! They have guaranteed Paradise by Jesus' blood and nothing remains for them to do except, if necessary, to believe that Jesus has actually saved them!! Believe and you are saved, no matter what you do!! The Saviour has offered his blood for your sake! This strange theory claims that you are saved whether you like it or not, whether you
deserve it or not, whether you are good or bad, whether you are a good man or a devil in the shape of man!! This theory makes the Day of Judgment a waste of time and makes the Fire a needless empty place.

14. If salvation is secured by Jesus' crucifixion, why did men like Paul come after Jesus, according to the church?! What was the need for Paul if universal redemption had already been achieved by Jesus?!

15. Jesus said, "But those mine enemies, which would not that I should reign over them, bring hither, and
SLAY them before me." (Luke 19:27).We do not want to discuss the contradiction between this text and what Jesus said, "Blessed are the peace-makers." (Matt. 5:9). HOW can he order a massacre and bless peace-makers?! Why did Jesus order to slay disbelievers if he would save them by his crucifixion?! Why would he slay them If he came to save them?! Did he come to save believers only?!
Believers do not need his crucifixion to be saved because their belief can save them. Did he come to save those who did not need him for their salvation?! One expects that he came to save those who would not be saved except through his crucifixion if crucifixion has to have a function. But, unfortunately, it came up that crucifixion cannot save the unsaved; it only saves those already saved! This means that crucifixion has actually no function whatsoever.

16. When Jesus felt the approach of the plot against him in that night of arrest, he said to his disciples, "He that has no sword, let him sell his garment, and buy one," (Luke 22:36). Why buy a sword? For resistance. Why resistance?! The church says that he offered himself willingly to be crucified to save man. But the text here shows that Jesus is preparing swords to resist his arrest. The only possible explanation, within the church story, is that Jesus was arrested and crucified against his will, which implies that the whole theory of salvation by crucifixion is false and groundless.

17. "For God so loved the world, that he gave his only begotten Son." (John 3:16).The text says that God offered His only son to crucifixion because God loved the world. There is no relation of any kind between crucifying X and saving Y. The relationship between crucifixion and salvation is simply zero; it is like the relation between metal expansion and silent reading. The human mind fails to see such a relation because it does not exist in the first place. He who wants salvation should work for it by obedience to God; he does not simply wait for someone's crucifixion! Further, if God loves the world so much, He should have loved "His only son" more or at least equally! If He loves His son, how did He send him onto the cross mercilessly and unfairly?! Jesus had committed no major sins or crimes which required crucifixion!

18. Crucifying Jesus for the sake of others is unfair to Jesus especially when no major sin is involved. As the gospels report, God sent Jesus onto the cross, not out of punishment for a sin or crime which he committed, but merely to save others. This is surely an act of injustice done to Jesus! Since God is the Just, this crucifixion of Jesus could not take place. There is a clear contradiction between Gods's justice and Jesus' crucifixion.

19. What was Jesus' sin which sent him onto the cross?! What was he crucified for? Adam ate from that
tree, and God punished him, and the case was over. Why was the case alive again after thousands of years?! One eats and another is crucified!! Why punish Jesus for Adam's sin?! Should Jesus be crucified to send people to Paradise?! The tragic story was not well thought out!! Its incidents lack the minimal limit of connection. There is no logical link between the sin of Adam and the crucifixion of Jesus, nor between the crucifixion of Jesus and the salvation of man.

20. Why is all that roundabout way?! God is able to save people without that unfair, horrible; and humiliating debacle of innocent Jesus.

21. Jesus had said to God before the soldiers came to arrest him, "Father, SAVE ME from this hour." (John 12:27). That Jesus asked God to save him from the arrest proves that the so-called crucifixion was not with his own will. If the church story had been true, Jesus would have asked God to be arrested, not to be saved.

22. Paul says, "God will render to every man according to his deeds." (Romans 2:6). He also says, "And thinkest thou this ... that thou shall escape the judgment of God." (Romans 2:3). If everyone will be judged by God according to his deeds, what was the.crucifixion of Jesus for?! Judgment by deeds contradicts salvation by crucifixion. The first means that you are saved by your good deeds whereas the second means that you are saved by Jesus' sacrifice.

23. The church is not clear on who was saved by Jesus' crucifixion. Usually it repeats that his crucifixion
is an expiation for the sins of ALL humans; just believe in his crucifixion and you are saved. But Paul says
something different, "For the remission of sins that are PAST." (Romans 3:25). According to Paul, the crucifixion of Jesus washed off sins BEFORE his crucifixion. In other words, salvation was retroactive and not proactive. This means that salvation applies only to people 'Iiving at and before the time of Jesus, but not to people living after Jesus. So salvation through that crucifixion is not applicable to the millions of Christians who were born after the crucifixion of Jesus.

24. If people are already saved by the crucifixion of Jesus, they do not need to believe in God or prophets or Jesus. If salvation has already been guaranteed, what is faith or good deeds for?'

25. The New Testament is not clear on how salvation is achieved nor on who is included. Paul, the founder of Christianity, is skeptic as well. He says, "God delivered him up for us all" (Romans 8:32). But he also says, "of sins that are PAST." (Romans 3:25). Are the saved ALL or the PAST sinners only?! Later, more conditions are added for salvation, "Confess with thy mouth the Lord Jesus and shall believe in thine heart that God hath raised him from the dead, thou shall be saved." (Romans 10:9). His crucifixion is not enough for your salvation; you must believe in him and in his resurrection, i.e., two more conditions! Later, Paul changes his mind and says, "Whosoever shall call upon the name of the Lord shall be saved." (RomanS 10:13): no need for belief in his resurrection; just call upon Jesus and you are saved. So Paul has at least five contradictory stories about salvation: salvation of PAST sins only, salvation of ALL,
automatic salvation, salvation conditioned by the belief in the resurrection of Jesus, and salvation by calling upon Jesus. Paul is not sure who would benefit from the crucifixion of Jesus, nor is he sure of the means to salvation.

26. Paul says that you are saved by merely calling upon the name of the Lord (Romans 10:13). Here salvation is attained without the crucifixion of Jesus. What was he crucified then for?!

27. Paul says that you are saved if you believe in Jesus and his resurrection (Romans 10:9). Here again, salvation is achieved without the crucifixion of Jesus.

28. Paul says, "The doers of the law shall be justified." (Romans 2:13). Here you are saved by your deeds, not by the crucifixion of Jesus. If so, why was
Jesus crucified?!

29. Paul says, "Every man shall receive his own reward according to his own LABOR." (1 Corinthians 3:8).
Thus salvation is by good labor, not by fixing Jesus on the cross. This statement of Paul undermines all the Christian theory of crucifixion for salvation.

30. Unfortunately, the New Testament is not clear on why Jesus was crucified. Paul said, "For the remission of sins that are PAST." (Romans 3:25). But later, he changed his opinion and extended his phrase to "Christ died for OUR sins." (1 Corinthians 15:3). The former involves PAST sins only whereas the latter involves ALL sins of ALL humans without time restrictions. A big difference between the two!!

31. The New Testament is not clear on how Jesus was crucified and under what circumstances. There are two Paulian contradictory stories. The first story says that "God delivered him up for us all." (Romans 8:32) and "God gave his only begotten son." (John3:16). This implies that the crucifixion of Jesus took a form of sacrifice accepted voluntarily by Jesus. But the second story goes in the opposite direction: "He was crucified through weakness." (2 Corinthians 2:4). This implies that he was crucified forcibly out of his weakness, which means that his crucifixion has no role or function. Paul, by this 'statement, whether intentionally or not, undermines all the crucifixion-for-salvation theory.

32. Paul says, "Christ has redeemed us from the curse of the law, being made a curse for us: for it is written, cursed is everyone that hangeth on a tree." (Galatians 3:13). Here the salvation is from the curse of the LAW, not from sin! Jesus is cursed because crucified!! If cursed, he himself needs to be saved! How can Jesus be a saviour when he himself needs a saviour?! How can he be cursed and be a saviour at the same time?!

33. Paul says, "For in Jesus Christ neither circumcision availeth anything, nor uncircumcision; but faith which works by love." (Galatians 5:6). Here what saves man is loving faith, not the crucifixion of Jesus as
claimed.

34. Paul says, "Whatsoever a man sows, he shall-also reap." (Galatians 6:7). If so, what was Jesus crucified for?! The sow-reap principle makes Jesus' crucifixion unnecessary, functionless, and with no purpose.

35. Paul says, "By GRACE you are saved." (Ephesians 2'5), If by grace, why was the innocent Jesus crucified?! What for?! Salvation by grace undermines salvation by the crucifixion of Jesus,

36. James says, "Faith without works is dead." (James 2:20), Here salvation is by faith and works, not by the
crucifixion of Jesus.

37. Paul says, "He that does wrong shall receive for the wrong he has done." (Colossians 3:25). Again this
emphasizes the sow-reap principle, which contradicts and negates salvation by the crucifixion of Jesus. If the wrong-doer will be punished, why was Jesus crucified?! Unnecessarily!

38. Paul says, "In whom we have redemption through his BLOOD, even the forgiveness of sins." (Colossians 1:14). Jesus, as well-known, was crucified, not slain, and hence no blood ran out according to Matthew, Luke, and Mark. If blood is essential for redemption, then no redemption took place because no blood was caused to flow, according to three gospels out of four! Besides, forgiveness by the blood of Jesus contradicts the sow reap principle adopted by Paul himself (Galatians 6:7).

39. Paul says, "Christ has given himself for us an offering and a sacrifice to God for a sweet smelling savor." (Ephesians 5:2). Here Jesus offered himself as a sacrifice. What for if the sinful have still to be punished for their sins?! Besides, Jesus did not offer himself voluntarily and willingly; Paul himself said that Jesus was crucified through weakness, i.e., forcibly and unwillingly (2 Corinthians 2:4). We must also remember Jesus' reproach to God for forsaking him there on the cross (Matt. 27:46), which disproves the voluntary-offering story.

40. Paul said, "Who shall be punished with everlasting destruction." (2 Thessalonians 1:9). If punishment is awaiting the sinful, the crucifixion of Jesus was in vain. If the sinful are to punished for their sins and the righteous are rewarded for their good deeds, what was the alleged crucifixion of Jesus for?!! The New-Testament writers were never clear or consistent concerning crucifixion or salvation.

41.If salavation by crucifixtion saves one from the sin than why to repent for forgiveness as said in luke 24:47
"...and that repentance for forgiveness of sins would be proclaimed in His name to all the nations, beginning from Jerusalem." this again disproves the salavation by crucifixtion,you have to repent for forgiveness not salavation by crucifiction

In conclusion, to begin with, there is no trace of any logical relationship between salvation and crucifixion. The New Testament includes scores of texts indicating that salvation is attained by faith, good deeds, and obedience to God. Further, many Biblical texts emphasize the sow-reap principle, which contradicts the salvation-by-crucifixion theory. There are also many Biblical texts that assert that the sinful will be punished, which proves that the alleged salvation did not take place through the alleged crucifixion of Jesus.

We do also notice that salvation by crucifixion is not mentioned in the Old Testament, nor by any prophet before or after Jesus, nor by Jesus himself. This salvation-by-crucifixion is one of the groundless innovations of the church initiated by Paul, who has often strongly contradicted himself on many occasions concerning both salvation and crucifixion, as shown in the previous discussion.

In brief, every neutral and Objective person can easily see that the reasonable way to salvation is faith in God and obedience to Him. This fabricated theory of crucifixion for redemption does NOT convince objective fair human minds. God does not need the crucifixion of Jesus, nor does Jesus deserve it, nor will people be saved by it.



Na Quran Inatuambia,

Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuua Masihi Yesu mwana wa Maryam, Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala hawakumuua wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa. Na kwa hakika wale waliokhitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi juu yake, isipokuwa wanafuata dhana tu. Na hawakumuua kwa yakini.
(Qur'ani 4.157)

Wataalamu wa Biblia wa nchi za magharibi wa sasa baada ya uchunguzi wanakubali ukweli huu wa Qur'ani. Na Qur'ani iliteremshwa kwa mtu asiyejua kusoma wala kuandika miaka elfu moja na mia nne iliyopita.

Nawaomba Ndugu Zangu na nyie Mfanye Research Kuhusu Swala Hili.

Tuesday 26 August 2014

Quran na Biblia zinahimiza kuoga Janaba

Quran inasema;

...mkiwa na janaba basi ogeni..(Quran 5:6)

Biblia inasema;

“Kama mwanamume yeyote akitokwa na shahawa yake, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji..(Walawi 15:16 (BHN))

Ndugu zangu Wakristo mnafuata mafundisho ya nani ?

Ndugu zangu Wakristo kwa nini mnaikataa Biblia yenu ?

1) Biblia inakataza kula nguruwe lakini Nyie mnakula (na mnasema eti halali kula nguruwe!).

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Biblia - Mambo ya Walawi 11:07-08)

2) Biblia inasema Mungu ni Mmoja tu lakini nyie mnasema Mungu ni watatu (Trinity).

"Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Mungu wetu ni Mungu mmoja." (Marko 12:29)

wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma. (Yohana17:3)

3) Biblia inasema Yesu ni Mtu lakini nyie mnasema Yesu ni Mungu! .............................. ...........

Katika Injili ya (Yohana 8:40), Yesu anasema: "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo 
kweli, niliyoisikia kwa Mungu..."

4) Na Yesu anasema (katika Biblia) "Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake." lakini hamna mkristo anae Msujudie Bwana Mungu wake!!!

Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake. Biblia ( Luka 4:8 )

Nashangaa sana! Ndugu yangu Mgen, je nyie wakristo mnafuata mafundisho ya nani ? hata Biblia ambayo mnadai ni yenu mnaikataa!!!

Yesu anasema,

"Msidhani ya kuwa nimekuja kutengua sheria ya Musa au mafundisho ya Manabii, sikuja kutengua bali kukamilisha". (Mathayo 5:17)

Quran Tukufu inasema;

...Enyi Watu wa Kitabu! (Wayahudi na Wakristo) Hamna lenu jambo mpaka muishike Taurati na Injili na yote mlio teremshiwa kutokana na Mola wenu Mlezi. Na hakika ulio teremshiwa wewe kutokana na Mola wako Mlezi yatawazidishia wengi katika wao uasi na ukafiri. Basi usiwasikitikie watu makafiri. (Quran 5:68)

In short, Yesu ni Muislamu. 

..Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. (Quran 3:64)

Thursday 14 August 2014

Quran na Biblia zinasema "Msujudie Mungu Wako"

Biblia ( Luka 4:8 ) inasema; 

Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.


Qur'ani Tukufu (SURAT AL-INSAN 25-26) inasema; 

Na likumbuke jina la Mungu wako asubuhi na jioni;-Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu.

Quran Tukufu Surat Fusilat 37 inasema; 

Na katika Ishara zake ni usiku na mchana, na jua na mwezi. Basi msilisujudie jua wala mwezi, bali msujudieni Mwenyezi Mungu aliye viumba, ikiwa nyinyi mnamuabudu Yeye tu.

Friday 11 July 2014

Kwanini Wakristo hawasali kama Yesu na Manabii ?

Yesu na Manabii walikuwa wakisali kama Ifuatavyo (lakini wakristo hawasali kama Yesu na Manabii).

Kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:” (Biblia, Mathayo 26:39)

Kutoka kwa Musa: “Kisha Musa akainama mbio kuelekea chini na kusali” (Kutoka 34:8 Biblia)

Kutoka kwa Musa na Haruni: “Musa na Haruni wakaenda kutoka katika Kanisa mbele ya mlango wa hema na wakapiga nyuso zao chini” (Biblia, kitabu cha Hesabu 20:06)

Kutoka kwa Ibrahimu: “Kisha Ibrahimu akaanguka chini kwenye uso wake ...” (Biblia, Mwanzo 17:03)

Kutoka kwa Yoshua: “Kisha Yoshua akaanguka chini kwenye ardhi juu ya uso wake na akainama ...” (Yoshua 5:14 Biblia)

Kutoka kwa Ezra na watu wake: “Na wakapiga magoti wakamwabudu Bwana kwa uso kwenye ardhi “ (Nehemia 8:06 Biblia)
“Popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi” (Biblia 1 Timotheo 2:08)

“Eliya akainama chini ya ardhi na akainamisha uso wake kati ya magoti yake” (Ya kwanza Wafalme 18:42 Biblia)

“Na Bwana akasema na Musa, akamwambia:” Nenda mbali na mkutano huu, nami baada ya muda nitawaangamiza “. Kisha wakapiga magoti juu ya nyuso zao. “(Biblia ya nne Musa 16:44-45)

Yesu ni Muislamu

Mara nyingi watu kuguswa kwa vitendo mbalimbali ambavyo vinafanywa na sisi Waislamu na pia vilivyotajwa katika Biblia. Matendo na Ujumbe huyo yatakuwa katika maeneo kadhaa katika Biblia, Taurat na Injiyl. Sisi tu pamoja katika ’Ibaadah na matendo ambayo yalikuwa yakifanywa na Manabii waliotangulia na Mitume. Na bila shaka dalili hizi ndo zinazidi kututhibitishia kuwa Uislamu ni dini ya hakki kutoka kwa Mungu na ni dini ya Mitume na Manabii wote waliotangulia. Kama ituakikishiavyo Qur-aan yenyewe kuwa:

“Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yaletuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub na wajukuu zake, na waliyopewa Muusa na Yesu, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.” Qur-aan 2:136


Hizi zifuatazo ni baadhi ya ’Ibaadah iliyokuwa ikifanywa na Mtume Yesu (‘Alayhis Salaam):


Waislamu Kufanya Harakati Fulani Katika Maombi. Harakati Za Maombi Mbalimbali Katika Biblia

Kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:” (Biblia, Mathayo 26:39)

Kutoka kwa Musa: “Kisha Musa akainama mbio kuelekea chini na kusali” (Kutoka 34:8 Biblia)

Kutoka kwa Musa na Haruni: “Musa na Haruni wakaenda kutoka katika Kanisa mbele ya mlango wa hema na wakapiga nyuso zao chini” (Biblia, kitabu cha Hesabu 20:06)

Kutoka kwa Ibrahimu: “Kisha Ibrahimu akaanguka chini kwenye uso wake ...” (Biblia, Mwanzo 17:03)

Kutoka kwa Yoshua: “Kisha Yoshua akaanguka chini kwenye ardhi juu ya uso wake na akainama ...” (Yoshua 5:14 Biblia)

Kutoka kwa Ezra na watu wake: “Na wakapiga magoti wakamwabudu Bwana kwa uso kwenye ardhi “ (Nehemia 8:06 Biblia)
“Popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi” (Biblia 1 Timotheo 2:08)

“Eliya akainama chini ya ardhi na akainamisha uso wake kati ya magoti yake” (Ya kwanza Wafalme 18:42 Biblia)

“Na Bwana akasema na Musa, akamwambia:” Nenda mbali na mkutano huu, nami baada ya muda nitawaangamiza “. Kisha wakapiga magoti juu ya nyuso zao. “(Biblia ya nne Musa 16:44-45)


Waislamu Husalimiana Kwa Kusema “Assalamu ’Alaykum”, Maana Yake: “Amani Iwe Juu Yenu” – Yesu Alikuwa Akisalimiana Kwa Njia Hiyo Hiyo

“Wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe juu yenu.! “(Biblia, Luka 24:36)

“Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake kwa salamu ya amani” (Biblia Mathayo 10:12)


Waislamu Mara Nyingi Hutumia Neno - “Inshaa- Allaah” Ambalo Maana Yake Ni - “Mungu Akipenda (Mungu akitujalia)” - Maneno Haya Pia Tunapata Katika Biblia

“Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena. Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile” (Yakobo 4:14–15 Biblia)


Kuomba Kutoka Asubuhi Mpaka Jioni - Waislamu, Kuswali Mara Tano Kwa Siku, Katika Biblia Tunasoma:

“Kuanzia pale jua linapopambazuka mpaka pale linapozama jina la Bwana litukuzwe” (Zaburi 113:3 Biblia)


Kuomba Kwa Nyakati Fulani Kwa Siku - Waislamu Huomba Kwa Nyakati Fulani

“Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala” (Matendo 03:01)

“Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu wa kumsaidia, amemwekea Mungu tumaini lake na huendelea kusali na kumwomba msaada usiku na mchana.(Timotheo 5:05)
“Je, si Mungu basi yake kupata haki ya kuchaguliwa, wakati wao kupiga kelele kwa Mungu mchana na usiku? Je, hao wanapaswa kusubiri?” (Luka 18:07 Biblia)


Waislamu Wanachukua Wudhuu (Kutawadha) Kabla Ya Kuswali. Biblia Inasema Yafuatayo

“Na Musa na Haruni na wanawe baadaye akanawa mikono na miguu kwa maji kutoka humo. Mara nyingi walipokuwa wakenda ndani ya hema ya kukutania, au kuja mbele ya madhabahu, Walikuwa wakijiosha, kama Bwana alivyomwagiza Musa. (Kutoka 40:31-32 Biblia)

“Wale ambao hujitolea na kujisafisha kwa maombi katika bustani, wakiongozwa na mtu ambaye anasimama pale katikati ...” (Isaya 66:17 Biblia)


Biblia Inataja Nyumba Ya Sala (Maombi), Hii Inakuwa Tafsiri Ndani Ya Kiarabu Na Kiswahili Masjid Ni Msikiti

“Na akawaambia: Imeandikwa: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala ... '(Mathayo 21:13 Biblia)
“... Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa watu wote”. (Isaya 56:7 Biblia)

“Na akawaambia:” Imeandikwa: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang `anyi”. (Biblia St Mathayo 21:13)


Waislamu Kufunga Mwezi Wa Ramadhaan Na Kuwatia Moyo Kufunga Kwa Hiari. Swawmu Imeandikwa Hata Katika Biblia

“Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa” (Mathayo 5:06 Biblia)

“Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga... ..” (Mathayo 6:16-18 Biblia)

Waislamu wanafunga funga za Hiari (Funga za Juma tatu na Alhamisi)

Sehemu ya Luka ya Biblia unaweza kusoma kama ifuatavyo: “Mtu anaweza pia kufunga kwa hiari katika nyakati za Agano Jipya kwa kawaida juu ya Jumatatu na Alhamisi. Kwa kufanya hivyo kila wiki ilikuwa ni ishara ya maalumu ya uchamungu. (Biblia, Luka 18:12)


Waislamu Kutoa Kwa Maskini (Swadaqah)-Upendo. Katika Biblia Tunasoma

“Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo. Basi, unapotoa sadaka, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata malipo yao. Lakini wewe unapotoa sadaka, mkono wako wa kushoto usijue mkono wa kulia umefanya nini. Toa sadaka yako kwa siri. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, atawapa thawabu. “(Mathayo 6:1-4 Biblia)


Waislamu Hawali Nguruwe, Damu, Au Wanyama Wafu. Biblia Pia Inakataza Hilo

“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga ya”(Biblia Walawi 11:7-8)

Baadaye katika aya ya 21 ya sura hiyo tunasoma yafuatayo: “usile kitu kilichokufa chenyewe.

“... Na wale wenye kula nguruwe na uchafu mwingine, ndiyo, pia panya, watapotea wote, asema Bwana”. (Isaya 66:17 Biblia)

“Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.”(Biblia Matendo 15:20)

“Ni lazima tu subiri si kwa kula damu. Kwa sababu damu ni roho na roho usile na nyama. Unapaswa kumwaga kwenye ardhi kama maji “. (Kumbukumbu 12:23-24 Biblia)

“Na kama mtu wa nyumba ya Israeli, au mmoja wa wageni ambao wanaishi kati yao, akinywa damu yoyote, nami nitaweka uso wangu dhidi yake ambae anakunywa damu na kumkatilia kwake mbali na watu wake” (Mambo ya Walawi 17:10 Biblia)

“Na hakuna damu yoyote mtayokunywa, ama kwa ndege au mifugo, bila kujali wapi mlipo. Kila mtu anaekunywa damu yoyote, huyo atakatiliwa mbali na watu wake “. (Walawi 7:26-27 Biblia)


Ni Haramu Kwa Waislamu Kunywa Pombe. Biblia Inatueleza Wazi Yafutayo

“Uasherati na pombe lazima uondoshe akilini” (Hosea 4:11 Biblia)

Je, wamesahau kwamba watu wabaya hawataurithi Utawala wa Mungu? Msidanganyike! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti. wevi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyang'anyi, hao wote hawatashiriki Utawala wa Mungu. (Biblia Kwanza Wakorintho 6:9-10)


Katika Uislamu ni haramu Riba. Biblia pia inakataza Riba

“Unaweza kukopa fedha kwa ajili ya maskini yeyote kati yenu, kati ya watu wangu, hivyo ni lazima si kitendo dhidi yake kama walaji riba. Wala kuongeza juu yake faida yoyote” (Biblia, Kutoka 22:25)

“Usichukue faida yoyote ya ndugu yako, ama ya pesa au chakula au kitu kingine chochote ikawa umechukua riba” (Biblia, Kumbukumbu la Torati 23:19)

“Na kama mnawakopesha wale tu mnaotumaini watawalipeni, je, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi wenzao ili warudishiwe kima kilekile!”. Biblia (Luka 06:34)

“... faida na kuchukua riba - Je, ndo ataishi? Hapana, lazima wafe, lakini kwa sababu yeye kashiriki katika maovu hayo, atakuwa katika adhabu na kifo. damu yake atakuja juu yake “. (Biblia Ezekieli 18:13)

Waislamu huchinja na kutoa Swadaqah ya kondoo mwanamke akijifungua. Hii pia imetajwa katika Biblia.

“Na siku yake ya kujisafisha ikifika, ikiwa ni mvulana au binti, atachinja kondoo mwenye umri kwa sadaka ya kuteketezwa ... (Mambo ya Walawi 00:06 Biblia)


Waislamu Hutahiriwa. Yesu Na Ibraahiym Na Manabii Wote Wa Israeli Walikuwa Wakitahiriwa?

“Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba '(Biblia, Luka 2:21)

“Na Mungu akamwambia Abrahamu:”Utunze agano langu, wewe na uzao wako baada yako, na vizazi vyote. Na hili ndilo agano kati ya mimi na wewe na uzao wako baada yenu, ambaye mtazishika kila uume kati yenu kutahiriwa katika govi zenu, na hii itakuwa ni ishara ya agano kati ya mimi na wewe. Vizazi, kila mtoto wa kiume kati yenu atatahiriwa, wakati ni umri wa siku nane, kama walivyofanya mtumishi wa kuzaliwa katika nyumba yako na yeye ambaye kanunuliwa kwa fedha za kigeni kutoka kwa watu ambao si wa ukoo wako. Utahiriwa ni kwa mtumishi wenu na aliozaliwa katika nyumba yako na yule uliemnunua kwa fedha. Na ndiyo ahadi yangu katika mwili wako wazi kuwa agano la milele. Lakini mmoja wa watoto wa mataifa mengine mtu mmoja ambaye govi haijawahi kutahiriwa, naye atatengwa na watu wake. Yeye kavunjwa ahadi yangu. (Biblia, Mwanzo 9-14)
“Na Ibrahimu alichukua mtoto wake Ismail na watumishi wake wote, mzaliwa wa nyumba yake na watu waliokuwa ------------ kwa fedha, kila uume kati ya watu wa Ibrahimu, na kutahiriwa siku hiyo govi yao ambayo Mungu alimwambia. Na Abrahimu alikuwa na miaka tisini na tisa. Wakati govi yake ilitahiriwa na mtoto wake Ismail alikuwa na umri wa miaka kumi na tatu wakati govi yake ilitahiriwa. Tarehe ya siku hiyo Ibrahimu katahiriwa, na mtoto wake Ismail. Na ya watu wote katika nyumba yake, mzaliwa wa watumishi wake wa nyumbani na wale ambao walikuwa ------------ kwa fedha kutoka mataifa ya nje, walikuwa wametahiriwa pamoja naye “. (Mwanzo 17:23-27 Biblia)

“Na Ibrahimu katahiriwa mtoto wake Isaka alipokuwa na umri wa siku nane, kama Mungu alivyomwamuru”. (Biblia, Mwanzo 21:04)

Kuhusu kutahiri ipo katika biblia: “Agano la Kale liliteuliwa na Mungu kama ishara ya pekee kwa watu wa Israeli, na kama ukumbusho wa ahadi zao pamoja naye. (Kutoka 17:09 a, 3 Mwanzo 0:03, Yohana 7:22) Pamoja na kwamba mistari yote ya Wayahudi inashuhudia hivyo ikawa ni “moto” na utata suala ambalo lilisaidia kugawa watu baada ya kipindi cha Yesu.


Kuoa Wake Wengi Katika Uislamu. Hata Katika Biblia Kumetajwa Kuoa Wake Wengi

“Akichukua mke mwingine, basi asifanya upungufu wowote katika mlo wa zamani, mavazi au sheria za ndoa”. (Biblia, Kutoka 21:10)

“Kama mtu ana wake wawili, mmoja anayempenda na mwingine ambaye hamuoni ...” (Biblia, Kumbukumbu la Torati 21:15)

“Yeye alikuwa na wake wawili ...” (Biblia, Samuel 01:02)

“Kwa hiyo, Daudi alifika huko pamoja na wake zake wawili ...” (Biblia ya Samuel 02:02)

“Lakini wakati wa usiku aliamka na kuchukua wake wake wawili na watu wake wawili wahuduma na wanawe kumi na mmoja….” (Biblia, Mwanzo 32:22


Uislamu Unaamuru Wanaume Kufuga Ndevu: Tuangalie Biblia Inatwambiaje Kuhusu Suala Hili

“Msikate pande yote ya nywele zenu ya vichwa, wala msikate pande ya ndevu zenu. (Biblia, Walawi 19:27)

Katika Biblia imetajwa katika maeneo mengi, kwamba manabii na waumini walikuwa na ndevu. Tazama kwa mfano Ezra 9:03, Mambo ya Walawi 21:05, Nehemia 13:26

Enyi ndugu zangu Wakristo someni nini mnaambiwa na Mungu

Soma yafuatayo kutoka katika Quran Tukufu 3:45-99,

Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Yesu mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).

Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu wema.

Maryamu akasema: Mola wangu Mlezi! Vipi nitampata mwana na hali hajanigusa mwanaadamu? Mwenyezi Mungu akasema: Ndivyo vivyo hivyo, Mwenyezi Mungu huumba apendacho. Anapo hukumu jambo, huliambia: Kuwa! Likawa.

Na atamfunza kuandika na Hikima na Taurati na Injili.

Na ni Mtume kwa Wana wa Israili kuwaambia: Mimi nimekujieni na Ishara kutoka kwa Mola Mlezi wenu, ya kwamba nakuundieni kwa udongo kama sura ya ndege. Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa na wakoma, na ninawafufua maiti kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na ninakwambieni mnacho kila na mnacho weka akiba katika nyumba zenu. Hakika katika haya ipo Ishara kwenu ikiwi nyinyi ni wenye kuamini.

Na ninasadikisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na ili nikuhalalishieni baadhi ya yale mlio harimishiwa, na nimekujieni na Ishara kutokana na Mola Mlezi wenu. Kwa hivyo mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.

Hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi na ni Mola wenu Mlezi. Basi muabudni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.

Yesu alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu.

Mola wetu Mlezi! Tumeyaamini uliyo yateremsha, na tumemfuata huyu Mtume, basi tuandike pamoja na wanao shuhudia.

Na Makafiri walipanga mipango na Mwenyezi Mungu akapanga mipango, na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa wenye kupanga.

Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Yesu! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.

Ama wale walio kufuru, nitawaadhibu adhabu kali katika dunia na Akhera, wala hawatapata wa kuwanusuru.

Na ama wale walio amini na wakatenda mema basi Mwenyezi Mungu atawalipa ujira wao kaamili. Na Mwenyezi Mungu hawapendi madhaalimu.

Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.

Hakika mfano wa Yesu kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.

Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.

Watakao kuhoji (Ewe Muhammad) katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.

Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii?

Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.

Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini.

Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?

Na kikundi katika Watu wa Kitabu walisema: Yaaminini yale waliyo teremshiwa wenye kuamini mwanzo wa mchana, na yakataeni mwisho wake; huenda wakarejea.

Wala msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni uwongofu wa Mwenyezi Mungu, kuwa apewe mtu mfano wa mlio pewa nyinyi au wakuhojini mbele ya Mola wenu Mlezi. Sema: Hakika fadhila zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mjuzi.

Yeye humchagua kumpa rehema zake amtakaye; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.

Na miongoni mwa Watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipo kuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasio jua kusoma. Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua.

Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.

Hakika wanao uza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao thamani ndogo, hao hawatakuwa na sehemu ya kheri yoyote katika Akhera, wala Mwenyezi Mungu hatasema nao wala hatawatazama Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa, nao watapata adhabu chungu.

Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua.

Haiwezi kuwa mtu aliye pewa na Mwenyezi Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie watu: Kuweni wa kuniabudu mimi badala ya Mwenyezi Mungu. Bali atawaambia: Kuweni wenye kumuabudu Mola Mlezi wa viumbe vyote, kwa kuwa nyinyi mnafundisha Kitabu na kwa kuwa mnakisoma.

Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa nyinyi Waislamu?

Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia.

Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.

Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa?

Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Yesu na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia hoja zilizo wazi? Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.

Hao malipo yao ni kuwa ipo juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.

Humo watadumu. Hawatapunguziwa adhabu wala hawatapewa nafasi.

Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.

Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na hao ndio walio potea.

Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru.

KABISA HAMTAFIKIA wema mpaka mtoe katika vile mnavyo vipenda. Na kitu chochote mnacho kitoa basi hakika Mwenyezi Mungu anakijua.

Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipo kuwa alicho jizuilia Israili mwenyewe kabla haijateremshwa Taurati. Sema: Leteni Taurati muisome ikiwa nyinyi ni wasema kweli.

Na wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu baada ya hayo, basi hao ndio madhaalimu.

Sema: Mwenyezi Mungu amesema kweli. Basi fuateni mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.

Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote.

Ndani yake zipo Ishara zilizo wazi - masimamio ya Ibrahim, na mwenye kuingia humo anakuwa katika amani. Na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu imewajibikia watu wahiji kwenye Nyumba hiyo, kwa yule awezae njia ya kwendea. Na atakaye kanusha basi Mwenyezi Mungu si mhitaji kwa walimwengu.

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnakanusha ishara za Mwenyezi Mungu, na ilhali kuwa Mwenyezi Mungu ni Shahidi kwa yote mnayo yatenda?

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnamzuilia aliye amini Njia ya Mwenyezi Mungu mkiitafutia kosa, na hali nyinyi mnashuhudia? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda.

Moses, Jesus, Muhammad 3 men 1 mission

Why do Muslims eat Halal - Unbelievable

Bible and Quran Says "Don't Eat Pork" Why?

Biblia na Quran zinasema "Mungu ni mmoja tu"

Biblia inasema Yohana17:3...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma.

Biblia inasema 1 Timotheo 6:16, Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:18)

Quran inasema, Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Mabwana badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. (Quran 3:64)

What the bible says about hijab (head cover) for women?

I honestly believe that many Christians criticize Islam, without reading about Islam from reputable Islamic sources. Furthermore, I believe that many Christians do not read the Bible. Take, for example, the head scarf, may Christians think that women in Islam are oppressed because men forced them to wear head scarf. How about the hundred of thousands of Muslim women in the West who put Hijab on? Can men force them to do that in the west?? This is just a big lie against Islam.

Have you ever seen Virgin Mary in a movie without headscarf? She used headscarf in normal life.

Now let's see what the Bible say about covering womens' head:

1 Corinthians 11. (King James Version)

5-6 But every woman that prayeth or prophesieth with her head uncovered dishonoureth her head: for that is even all one as if she were shaven . 6 For if the woman be not covered , let her also be shorn : but if it be a shame for a woman to be shorn or shaven , let her be covered .

10 For this cause ought the woman to have power on her head because of the angels.

13 Judge in yourselves : is it comely that a woman pray unto God uncovered?

1 Corinthians 11 (New Revised Standard)

5 but any woman who prays or prophesies with her head unveiled disgraces her head—it is one and the same thing as having her head shaved. 6 For if a woman will not veil herself, then she should cut off her hair; but if it is disgraceful for a woman to have her hair cut off or to be shaved, she should wear a veil.

10 For this reason a woman ought to have a symbol of authority on her head, because of the angels

13 Judge for yourselves: is it proper for a woman to pray to God with her head unveiled?

Thursday 10 July 2014

Hajj imetajwa katika Quran na Biblia

Wengi hawakujua kwamba Ibada ya Hajj imetajwa hata katika Biblia ...

Kwanza kabisa, tunajua kwamba moja ya jina la "Makkah" ni "Baka" kama ilivyotajwa katika Qur'an (3:96)



Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Baka (Makkah), iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote. (Quran 3:96)


Biblia (Zaburi) inasema,

{84:3} Hata shomoro wamepata makao yao,
mbayuwayu wamejenga viota vyao,
humo wameweka makinda yao,
katika madhabahu zako, ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi,
Mfalme wangu na Mungu wangu!

{84:4} Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,
wakiimba daima sifa zako.

{84:5} Heri watu wanaopata nguvu zao kwako,
wanaotamani kwenda kuhiji mlimani kwako.

{84:6} Wapitapo katika bonde kavu la Baka,
hulifanya kuwa mahali pa chemchemi,
na mvua za vuli hulijaza madimbwi.

{84:7} Wanaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi;
watamwona Mungu wa miungu huko Siyoni.

{84:8} Usikie sala yangu ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi;
unitegee sikio, ee Mungu wa Yakobo.

{84:9} Ee Mungu, umwangalie kwa wema ngao yetu mfalme,
umtazame huyo uliyemweka wakfu kwa mafuta.

{84:10} Siku moja tu katika maskani yako,
ni bora kuliko siku elfu mahali pengine;
afadhali kusimama mlangoni pa nyumba yako,
kuliko kuishi nyumbani kwa watu waovu.

{84:11} Mwenyezi-Mungu ni jua letu na ngao yetu;
yeye hutuneemesha na kutujalia fahari.
Hawanyimi chochote kilicho chema,
wale waishio kwa unyofu.

{84:12} Ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi,
heri mtu yule anayekutumainia wewe!

wakati Waislamu wana Hiji wao huimba (kumtukuza Mungu) hivi "Labaik allahumma labaik, labaikellah sharika lakalla baik, innal hamda wanneeamata laka wa mulk " (Sisi tupo hapa katika huduma yako ee Mola, Sisi tupo hapa katika huduma yako na Wewe huna washirika. zako peke yako ni Sifa zote na zote fadhila, na yako peke yako Mamlaka. Wewe huna washirika).

Mtume Mohammed saw kasema kwamba:

"Sala moja hapo katika Maskani ya Mwenyezi Mungu (Baka) ni bora kuliko sala elfu mahali pengine."

Hata chemchemi ya zamzam iliopo Baka (Makkah) imetajwa katika Aya hizo za Biblia. 

Hapo Baka haramu kuinda (hata ndege), pia tunaona aya za Biblia pia zinasema kwamba hapo Baka Hata shomoro wamepata makao yao, mbayuwayu wamejenga viota vyao,
humo wameweka makinda yao... 

Aya hizi za Biblia kutoka; Biblia Habari Njema (BHN)

Unaweza kuipata Biblia hiyo online katika link hii hapa chini

https://www.bible.com/en-GB/bible/74/psa.84.3.bhn


Je kina nani hawa ?

SIWAJUI NYINYI


Mathayo 7:21,22,23 inasema;


21 “Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni.


22 Wengi wataniambia siku ile ya hukumu: ‘Bwana, Bwana! Kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi’.


23 Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’


Je kina nani hawa ?

Manabii (katika Biblia) walioa wake zaidi ya Mmoja

Manabii wengi wa Agano la Kale
na Ma Patriarchs walikuwa na wake zaidi ya mmoja,
ikiwa ni pamoja na Lameki, Abraham, Jacob,
Esau, Gideon, Sauli, Daudi, Solomon,
Rehoboamu, Elkana, Ashuri, Abiya
na Yehoyada. baadhi ya tafsiri
pia zinaonyesha kuwa Musa alikuwa na mke wa pili
huko Tharbis. Wengine walio owa wake zaidi ya mmoja
katika Biblia ni pamoja na Abiya
wa Yuda, Ashuri, Ahabu, Ahasuero,
Ashuri, Belshaza, Ben-hadadi, Kalebu
Elifazi, Esau, Ezra, Gideon,
Yehoyakini, Yehoramu, Yerameeli,
Yoashi, Makiri, Manase, Meredi,
Nahori, Rehoboamu, Shaharaimu,
Simeoni, na Sedekia.

Quran na Biblia zinahimiza kuoga Janaba.

Biblia inasema;

“Kama mwanamume yeyote akitokwa na shahawa yake, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji..(Walawi 15:16 (BHN))

Quran inasema;

Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni. Na mkiwa na janaba basi ogeni..(Quran 5:6)

The Coming of the Prophet-according to the Bible

According to the Quran, Prophet Muhammad's coming was foreshadowed by earlier prophets and their scriptures. Surah 7:157 states, "Those who follow the messenger, the unlettered prophet of whom they find written in their sources, in the Torah and the Gospel. He directs them to what is just and forbids them from evil. And he permits them wholesome things and forbids them filthy things. He removes their burden for them, and the yokes that were on them." This verse is explicitly clear that the earlier divine scriptures foretold the coming of the Prophet Muhammad. Let us highlight those passages in the Bible that refer to the coming of the prophet, Prophet Muhammad.-

First, we read in John 1:19-21:-

This is the testimony of John, when the Jews sent to him priests and Levites from Jerusalem to ask him, "Who are you?" And he confessed and did not deny, but confessed, "I'm not the Christ." They asked him, "What then? Are you Elijah?" And he said "I am not." "Are you the Prophet?" And he answered, "No".

From this conversation between John the Baptist and Jewish priests, we learn that the Jews are awaiting the coming of three distinct people: the Christ, Elijah, and the Prophet. We now know that Jesus was the Christ and Messiah whom the Jews denied but the Muslims later affirmed. This leaves Elijah and the Prophet. With respect to Elijah, it is believed by Jews and some Christians that he has not yet returned but will do so to announce the Second Coming of Jesus Christ.-

Thus, we need to account for The Prophet. Even today the Jews are still awaiting his arrival and the Christians believe Jesus Christ was the Prophet. This latter assertion of Christians is impossible because it is clear from John 1:21 as well as John 1:25 that "The Prophet" is a separate and distinct person from Elijah and the Christ. John 1:25 states "Why than are you, John the Baptist, baptizing, if you are not the Christ, nor Elijah, nor the Prophet?" The questioning priests were trying to identify whether John the Baptist was one of these three individuals. The knowledge of the coming of these three was known not only by Jewish priests but also ordinary Jews. This is supported by John 7:40-41 which clearly identifies the distinction that Jewish people are making with regard to Jesus of Nazareth. John 7:40-41 states, "Some of the people, therefore, when they heard these words were saying this certainly is the Prophet. Others were saying, 'This is the Christ.'" Hence, we can reasonably assert that the Prophet and the Christ are two separate and distinct men of God.

We know that Jesus Christ was a prophet, just as John the Baptist was. On the other hand, Muslims claim that Prophet Muhammad was the Prophet that Jews were asking about in the above passage. In fact, in the entire Quran, which is longer than both the Torah and the New Testament, the name "Muhammad" appears only four times. God addresses Prophet Muhammad as "the Prophet" or "the Messenger". However, the Jews came to deny his Prophet Hood when they learned that he was the descendant of Ishmael and a non-Jew. Obviously, this is not a valid reason to reject any prophet of God, let alone the Prophet. The fact is that the Jews believed then and even today that they alone are God's chosen people. If such a claim were true, what would have happened to all the Gentiles who had not received divine guidance, especially the descendants of Ishmael as they had a covenant with God? We as Muslims believe that it would be an act of injustice if God had exclusively sent guidance to Jews while neglecting other communities.-

Moreover, it was prophesied that there would come a time when the prophet would be passed from Judah and the Children of Israel to another community.-

In Isaiah 3:1-2, it states:-

"For behold, the Lord God of hosts is going to remove from Jerusalem and Judah both supply and support, the whole supply of bread and the whole supply of water; the mighty man and the warrior, the judge and the prophet..."-



This passage clearly asserts that God will take away from Judah and Jerusalem the Judge and the Prophet. Hence, if he (the Prophet) is to come, he must be from outside Jerusalem and not from the tribe of Judah. We know that Prophet Muhammad is from descendants of Ishmael and he was born in Mecca.-

Another explicit validation that foreshadows the coming of Prophet Muhammad is found in Genesis 49:10. It states, "The scepter shall not depart from Judah, nor the rulers staff from between his feet, until Shiloh comes, and to him shall be the obedience of the peoples." Although the verse is very clear, let us provide some perspective. Before his death, Jacob gathered his twelve sons and told them what each one would face in the coming days. In this verse, Jacob addresses Judah who is the lawgiver which is confirmed in the statement "and Judah is my scepter or lawgiver" (Psalms 60:7). As such, in Genesis 49:10, Jacob informs Judah that in the future the scepter will pass from him to Shiloh. The question is: who is Shiloh?-

Christians believe that Shiloh refers to Jesus Christ. However, this verse cannot be in reference to Christ because the scepter was to depart from Judah and go to Shiloh. Jesus is a direct descendant of Judah (Matthew 1), and therefore he cannot be Shiloh. In other words, Shiloh will possess the scepter and will be the lawgiver, and he will not be from Judah. Additionally, the notion that Jesus Christ was Shiloh and the lawgiver can be refuted when we consider that according to Christian doctrine Jesus did not produce any new law and nor did he claim to be the lawgiver. If we believe the testimony of both Apostles Peter and Paul, they were inspired to revoke the erstwhile Jewish law and taught that Christians no longer needed to abide by such doctrines. However, 49:10 makes complete sense when we consider Prophet Muhammad as Shiloh since he brought forth a new law in the Quran. This is consistent with Isaiah 3:1-2, whereby God will remove from Judah the judge and the prophet. Here, the judge and the prophet refer to the scepter or lawgiver.

These three passages Ð John 1:21, Genesis 49:10, and Isaiah 3:1 Ð validate the truthfulness of Prophet Muhammad as a prophet and messenger of God.-

There is another passage that is quite comprehensive and it is found in Isaiah 46:10-11:-

"Declaring the end from the beginning, from ancient times things which have not been done, Saying 'My purpose will be established and I will accomplish all My good pleasure'; Calling a bird of prey from the east, the man of My purpose from a far country. Truly I have spoken; truly I will bring it to pass. I have planned it, surely I will do it." (Isaiah 46:10-11).-

Some Old Testament commentaries, such as Wesley's Notes and Geneva Study Bible, refer to "the man of my purpose" as being Cyrus the Great. But this is erroneous because Cyrus is nowhere identified as a prophet or a man of God. Instead, it is believed he was an idol worshipper and an unbeliever. If God since the beginning had chosen him for a purpose, he would have needed to demonstrate that he was a faithful and obedient servant. Yet his primary contribution was to give the Jews permission to rebuild the Temple. King Solomon built the Temple in 957 BC and King Nebuchadnezzar destroyed it in 587 BC. Again, it was rebuilt by revered prophets such as Zachariah and Ezra in 515 BC with Cyrus' permission and, later in 40 BC; Herod the Great expanded the Temple.

-

Excerpted from the book "Christ Jesus, The Son Of Mary: A Muslim Perspective" by Adil Nizamuddin Imran.

Throughout the ages, the personality of Christ (Peace Be Upon Him) has been the center of much controversy. Some have called him a false prophet while some others worship him as God or son of God who came to earth in human form. Similar controversies linger around his mother, the Virgin Mary. Islam considers Christ as a mighty prophet of God, from among His near ones and his mother as an embodiment of piety, chastity and righteousness. Unfortunately, this high reverence of Islam to Christ and the Virgin Mary is often ignored by the mainstream western intelligentsia and largely unknown to the common western populace. This well researched book describes the status of Jesus in divine Islamic texts and will enrich the knowledge of its readers and enlighten them about the Islamic position on Christ Jesus - The Son of Mary.

A 1,500-year-old Book

A 1,500-year-old Bible in which Jesus is believed to have foretold the coming of the Prophet Mohammed to Earth has attracted attention from the Vatican.

Pope Benedict XVI has reportedly requested to see the book, which has been hidden in Turkey for the last 12 years, according to the Daily Mail.

The text, reportedly worth $22 million, is said to contain Jesus’ prediction of the Prophet’s coming but was suppressed by the Christian Church for years for its strong resemblance to the Islamic view of Jesus, Turkish culture and tourism minister Ertugrul Gunay told the newspaper.

“In line with Islamic belief, the Gospel treats Jesus as a human being and not a God. It rejects the ideas of the Holy Trinity and the Crucifixion and reveals that Jesus predicted the coming of the Prophet Mohammed,” the newspaper reported.

“In one version of the gospel, he is said to have told a priest: ‘How shall the Messiah be called? Mohammed is his blessed name.’

“And in another, Jesus denied being the Messiah, claiming that he or she would be Ishmaelite, the term used for an Arab,” the newspaper added.

According to the report, which many say is the Gospel of Barnabas, is an addition to the original gospels of Mark, Matthew, Luke and John.

St. Barnabas is traditionally identified as the founder of the Cypriot Church, an early Christian later named an apostle.

Gunay said the Vatican has officially requested to see the book, which Turkey had discovered during a police anti-smuggling operation in 2000.

The gang was reportedly convicted of smuggling various items seized during the operation, including the Bible, and all the artifacts were kept in a safe at an Ankara courthouse.

It remained closely guarded by authorities before being handed over to the Ankara Ethnography Museum where it will soon be put on show.

A photocopy of a single page from the leather-bound, gold-lettered book, penned in Jesus’ native Aramaic language is reportedly worth about $2.4 million.

But skepticism over the authenticity of the ancient handwritten manuscript has arisen.

Protestant pastor İhsan Özbek has said this version of the book is said to come from the fifth or sixth century, while St. Barnabas had lived in the first century as one of the Apostles of Jesus.

“The copy in Ankara might have been written by one of the followers of St. Barnabas,” he told the Today Zaman newspaper.

The real age of the Bible could soon be determined by a scientific scan, theology professor Ömer Faruk Harman told the Daily Mail, possibly clarifying whether it was written by St. Barnabas or a follower of his. 

Mkristo ananiambia....

Kitu cha kushangaza kabisa kuona Mkristo ananiambia ati mwamini Yesu yaani Nabii Issa A.S.. Hajui kuwa Nabii Issa katajwa ndani ya kitabu cha Mwenyezi Mungu Qur-ani. Lakini hata hivyo anataka nimwamini vipi?

Mtume au Mungu au Mtoto wa Mungu? Ikiwa nimwamini kuwa Mtume wa Mungu, basi Waislamu wamekwisha mwamini toka miaka 1400 iliyopita ilipoteremshwa Qur-ani.

Mzungu alikwenda kwa bushman kisha akamwabia mwamini Yesu kuwa ni Mungu. Bushman alimuuliza swali moja tu. Jee, huyu Mungu unayetaka nimwamini anakula?

Mzungu akamjibu kuwa anakula. Kwahiyo bushman akamwambia ikiwa anakula basi anakwenda chooni. Kwahiyo hafai kuwa Mungu huyo ni binadamu kama mimi wala simwamini.

Ingelikuwa Mola hakutufunulia kuhusu Yesu/Nabii Issa A.S.katika kitabu chake bila shaka tungewaamini wakristo wasemavyo. Lakini tunamshukuru Mola kateremsha Sura kamili ya mama yake Yesu aitwaye Mariam/Mary.

Na katuelezea jinsi alivyoshika mimba au ujauzito mpaka kumzaa Nabii Issa. Na vipi aseme wakati watu watakapomuuliza amempata wapi mtoto na hali hakuolewa?

Na kwanini Mola akateremsha Surat Mariam kamili ya mama yake Yesu/Nabii Issa lakini hakutajwa mama yake Mtume Muhammad S.A.W.. Kwasababu Mtume S.A.W. hakuzaliwa kimiujiza kama alivyozaliwa Nabii Issa na wala hapakuwa na tatizo la watu kumuabudu kama walivyomuuitakidi Nabii Issa kuwa ni Mungu au Mtoto wa Mungu.

Nice program, Jesus in the Quran

Very informative and useful application for android phones. 

JESUS IN THE QURAN. 

Download it here - https://play.google.com/store/apps/d...esusinthequran

Wapendwa someni haya bila hasira kisha amueni wenyewe kama ni sahihi au sio sahihi

Salamu na amani iwe juu ya mwenyekufuata uongofu.

Wapendwa,

Tafadhali someni aya hizi kisha tafakarini,


Biblia inasema ...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma. (Yohana17:3)

Hapa tunaona kwamba Yesu katumwa na Mungu wa Pekee.

Huyu ndio Mungu (Mungu Mmoja tu), soma aya hizi,;

Biblia inasema , Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina. (1 Timotheo 6:16)

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. ( Quran 3:18 )

Quran inasema, Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Mabwana badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. (Quran 3:64)

Yesu katika Biblia

Soma aya hizi (zifuatazo) za Biblia kwa makini (haya sio maneno yangu), 

Biblia inasema kwamba Yesu ni mtu, 

Katika Injili ya (Yohana 8:40), Yesu anasema: "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu..."

Biblia inasema kwamba Mungu sio mtu, 

Numbers 23:19
God is not a man, so He does not lie. He is not human, so He does not change His mind. Has He ever spoken and failed to act? Has He ever promised and not carried it through?

Yesu anasema “My teaching is not my own, It comes from him who sent me."

Jn. 7:16 Jesus answered, “My teaching is not my own. It comes from
him who sent me. 

Yesu anasema yeye ana Mungu. 

Biblia inasema,

"Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Mungu wetu ni Mungu mmoja." (Marko 12:29)

Baba yangu naye ni Baba yenu, Mungu wangu naye ni Mungu wenu (Yohana 20:16)

...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma. (Yohana17:3)